Kwa mujibu wa Life & Style, rapa Kanye West ametumia zaidi ya bilioni moja ya pesa za Tanzania kutayarisha video ya Famous.
Kanye West ametumia dola za kimarekani $750,000 kwajili ya kutengeneza sanamu za mastaa walioonekana kwenye video yake hio maarufu zaidi duniani. Repoti hii inasema sanamu za mastaa hawa zimechukua zaidi ya mwaka mmoja kukamilika huku wafanya kazi wakali wa Kanye West wakisimamia kazi yote. Mastaa wanaonekana watupu kwenye video ya Kanye ni pamoja na Caitlyn Jenner,Kim Kardashian, Ray J, Taylor Swift, Rihanna, Chris Brown, Donald Trump, Caitlyn Jenner, Bill Cosby, George W Bush na Amber Rose.

0 maoni:

Chapisha Maoni