Izzo bizness awapa shavu Jfish Julius Hunter Nyandindi na patrick alisina kutokea mbeya

msanii na mkali wa miondoko ya hip hop anayetamba na ngoma yake ya dangerouz boy aliyo mshirikisha mwanadada makini sana abela music anayetokea kwenye kundi la the amaizing linalomilikiwa na rappa huyo kutokea mbeya.
Hivi karibuni rapa huyo alijaribu kutoa mchango wake katika sanaa ya muziki kwa kuwapa sapota wakali wawili wanaofanya vizuri nyanda za juu kusini hususani pande za mbeya ambako rapa huyo ndiko alikoanzia katika harakati zake kimziki. katika mtandao wa instagram rapa huyo aliandika haya
pia kama wewe ni mdau wa kazi za sanaa unaweza kutoa mchango wako kusapoti mziki wa wasanii hawa.

0 maoni:

Chapisha Maoni