Kocha wa Chelsea Antonio Conte, amesema kiungo Cesc Fabregas bado ana
mipango naye licha ya kutompanga kwenye mchezo wa jana wa ushindi wa
mabao 2-1 dhidi ya West Ham, katika uwanja wa Stamford Bridge.
![]() |
Cesc Fabregas |
Bao
la Costa, kunako dakika ya 89, liliihakikishia Chelsea pointi 3 muhimu,
baada ya James Collins, kusawazishia West Ham, wakati Eden Hazard
alikuwa ameshaandika bao la kwanza kwa The Blues kwa njia ya peanati.
"Inaweza kutokea kwa mchezaji yoyote kumwacha kwenye kikosi cha kwanza, kama nilivyomwacha Fabregas, muhimu kuona hilo ni jambo jema, kwa sababu ni lazima tupigane kwenye msimu huu, na muhimu kukaa pamoja kwa kila hali".Alisema Conte.
Fabregas aliyeachwa kwenye benchi, amekuwa akihusishwa na kutaka kutimka kwenye klabu hiyo ya darajani ambapo inasemakana huenda akakimbilia vilabu vya Real Madrid, Juventus au klabu yake ya zamani, Barcelona
"Inaweza kutokea kwa mchezaji yoyote kumwacha kwenye kikosi cha kwanza, kama nilivyomwacha Fabregas, muhimu kuona hilo ni jambo jema, kwa sababu ni lazima tupigane kwenye msimu huu, na muhimu kukaa pamoja kwa kila hali".Alisema Conte.
Fabregas aliyeachwa kwenye benchi, amekuwa akihusishwa na kutaka kutimka kwenye klabu hiyo ya darajani ambapo inasemakana huenda akakimbilia vilabu vya Real Madrid, Juventus au klabu yake ya zamani, Barcelona
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana kwa
furaha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada
ya kuwasili nyumbani kwake Sala sala nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai nyumbani kwake
Sala sala jijini Dar es Salaam alipokwenda kumjulia hali.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake
Mama Janeth Magufuli kushoto akizungumza jambo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Job Ndugai nyumbani kwake Sala sala jijini Dar es Salaam
walipokwenda kumjulia hali. Kulia ni mke wa Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada
ya kuwasili nyumbani kwa Spika Sala sala jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali
Waziri Mkuu mstaafu John Samuel Malecela ambaye anapata matibabu jijini Dar es
Salaam.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimsalimia Waziri Mkuu mstaafu John Samuel
Malecela ambaye anapata matibabu jijini Dar es Salaam.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa pamoja na Rais Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza Sala ya kumuombea Waziri Mkuu mstaafu John Samwel Malecela pamoja na
mkewe Anne Kilango Malecela.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akizungumza na Mke wa Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai
wakati alipokwenda na Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuwajulia hali nyumbani
kwao Sala sala jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mke wa
Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai huku Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiagana
na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada ya
kuwajulia hali nyumbani kwao Sala sala jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia
kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia
mavazi yanayofanana na sare za Majeshi ya Ulinzi na usalama hapa nchini
likiwemo Jeshi la Polisi katika shughuli zao za kisanii au katika kazi
mbalimbali, Jambo ambalo ni kinyume cha sheria, kanuni na taratibu za
Nchi.
Makao Makuu ya Polisi.
Kwa
mujibu wa Sheria ya kanuni za makosa ya Jinai, sura ya 16 na marejeo
yake ya mwaka 2002, kifungu cha 178 (1) na (2) kinachozungumzia makosa
dhidi ya sare za majeshi ya ulinzi na usalama, kinabainisha wazi kuwa
ni kosa kisheria kwa mtu yeyote ambaye siyo mtumishi wa majeshi ya
ulinzi na usalama kuvaa mavazi yanayotumiwa au kushabihiana na sare za
majeshi hayo bila kibali kutoka kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
Kufuatia
kitendo kilichofanywa na kundi la kisanii la “ Original Comedy” kuvaa
mavazi yanayoshabihiana na sare za Jeshi la Polisi, Jeshi la Polisi
Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam linachukua hatua za kisheria dhidi ya
wasanii hao.
Aidha
Jeshi la Polisi nchini, linatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi chochote
kuacha kutumia mavazi yanayofanana na sare zinazovaliwa na majeshi ya
ulinzi na usalama hapa nchini na atakayebainika hatutasita kuchukua
hatua kali za kisheria dhidi yake.
Jeshi
la Polisi linatoa rai kwa wale wote wenye mavazi yanayoshabihiana na
sare za majeshi ya ulinzi na usalama kuzisalimisha mara moja katika
vituo vya Polisi vilivyokaribu nao.
Imetolewa na:
Advera John Bulimba – Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)
Msemaji wa Jeshi la Polisi.
Kampuni ya Google imezindua programu yake
mpya kwa jina DUO. Programu hiyo ni jibu la Google kwa programu nyengine
kama ile ya Apple ya Face Time,Skype ya Microsoft na Facebook
messanger.
Programu
hii haina tofauti kubwa na programu nyingine zinazotoa huduma za video,
isipokuwa inakupatia uwezo wa ni nani anayepiga simu hivyo basi kumpatia
mtumiaji fursa ya kuamua iwapo ataipokea simu hiyo au la. Programu hiyo
mpya iliotangazwa mwezi May imezinduliwa kama huduma ya bure kwa simu
zinazotumia Android pamoja na simu za Apple za iPhone.
Simu
zinalindwa na haziwezi kudukuliwa na video hubadilika kulingana na kasi
ya kushika simu inayopigwa. Kama programu ya FaceTime, duo inahitaji
nambari ya mtu ya simu kuunganishwa. Huduma nyingine zinahitaji mtumiaji
kuingia katika akaunti zao ili kupata fursa ya kupata huduma hiyo.
Marekani imetangaza kuwahamisha wafungwa 15 waliokuwa kwenye gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba na kupelekwa Emirates.
Taarifa ya kuhamishwa kwa wafungwa hao imetolewa kutoka makao makuu ya jeshi la nchi hiyo lililopo Pentagon na kati ya wafungwa hao 12 wanatoka Yemen na watatu Afghanistan.
Kundi la watu hao ni moja kati ya kundi kubwa la wafungwa kuwahi kuhamishwa kutoka kwenye gereza hilo chini ya utawala wa Rais Barack Obama tangu mwaka 2008. Mpaka sasa idadi ya wafungwa waliobakia kwenye gereza hilo imefikia 61 hatua ambayo imeonekana kupingwa vikali na Chama cha Republican chini ya mgombea wake Donald Trump.
Hata hivyo mara kadhaa Rais Obama ameeleza masikitiko yake juu ya msimamo wa chama hicho wa kupinga mpango wake wa kutaka kufunga gereza hilo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyowahi kuitoa wakati wa kampeni za Urais.
Taarifa ya kuhamishwa kwa wafungwa hao imetolewa kutoka makao makuu ya jeshi la nchi hiyo lililopo Pentagon na kati ya wafungwa hao 12 wanatoka Yemen na watatu Afghanistan.
Kundi la watu hao ni moja kati ya kundi kubwa la wafungwa kuwahi kuhamishwa kutoka kwenye gereza hilo chini ya utawala wa Rais Barack Obama tangu mwaka 2008. Mpaka sasa idadi ya wafungwa waliobakia kwenye gereza hilo imefikia 61 hatua ambayo imeonekana kupingwa vikali na Chama cha Republican chini ya mgombea wake Donald Trump.
Hata hivyo mara kadhaa Rais Obama ameeleza masikitiko yake juu ya msimamo wa chama hicho wa kupinga mpango wake wa kutaka kufunga gereza hilo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyowahi kuitoa wakati wa kampeni za Urais.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
1 followers
1 subscribers
Popular Posts
DJ DUXX

sign up

TOTAL PAGEVIEWS
Banner1

Jumatano, 5 Oktoba 2016
Jfish Hunter Ft B Designer NO STRESS Official Video
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Jumanne, 16 Agosti 2016
Bado nina mipango na Fabregas - Antonio Conte
Kocha wa Chelsea Antonio Conte, amesema kiungo Cesc Fabregas bado ana
mipango naye licha ya kutompanga kwenye mchezo wa jana wa ushindi wa
mabao 2-1 dhidi ya West Ham, katika uwanja wa Stamford Bridge.
![]() |
Cesc Fabregas |
Bao
la Costa, kunako dakika ya 89, liliihakikishia Chelsea pointi 3 muhimu,
baada ya James Collins, kusawazishia West Ham, wakati Eden Hazard
alikuwa ameshaandika bao la kwanza kwa The Blues kwa njia ya peanati.
"Inaweza kutokea kwa mchezaji yoyote kumwacha kwenye kikosi cha kwanza, kama nilivyomwacha Fabregas, muhimu kuona hilo ni jambo jema, kwa sababu ni lazima tupigane kwenye msimu huu, na muhimu kukaa pamoja kwa kila hali".Alisema Conte.
Fabregas aliyeachwa kwenye benchi, amekuwa akihusishwa na kutaka kutimka kwenye klabu hiyo ya darajani ambapo inasemakana huenda akakimbilia vilabu vya Real Madrid, Juventus au klabu yake ya zamani, Barcelona
"Inaweza kutokea kwa mchezaji yoyote kumwacha kwenye kikosi cha kwanza, kama nilivyomwacha Fabregas, muhimu kuona hilo ni jambo jema, kwa sababu ni lazima tupigane kwenye msimu huu, na muhimu kukaa pamoja kwa kila hali".Alisema Conte.
Fabregas aliyeachwa kwenye benchi, amekuwa akihusishwa na kutaka kutimka kwenye klabu hiyo ya darajani ambapo inasemakana huenda akakimbilia vilabu vya Real Madrid, Juventus au klabu yake ya zamani, Barcelona
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Home
»
»
RAIS DKT. MAGUFULI AWAJULIA HALI SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI PAMOJA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU JOHN SAMUEL MALECELA JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS DKT. MAGUFULI AWAJULIA HALI SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI PAMOJA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU JOHN SAMUEL MALECELA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana kwa
furaha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada
ya kuwasili nyumbani kwake Sala sala nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai nyumbani kwake
Sala sala jijini Dar es Salaam alipokwenda kumjulia hali.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake
Mama Janeth Magufuli kushoto akizungumza jambo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Job Ndugai nyumbani kwake Sala sala jijini Dar es Salaam
walipokwenda kumjulia hali. Kulia ni mke wa Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada
ya kuwasili nyumbani kwa Spika Sala sala jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali
Waziri Mkuu mstaafu John Samuel Malecela ambaye anapata matibabu jijini Dar es
Salaam.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimsalimia Waziri Mkuu mstaafu John Samuel
Malecela ambaye anapata matibabu jijini Dar es Salaam.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa pamoja na Rais Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza Sala ya kumuombea Waziri Mkuu mstaafu John Samwel Malecela pamoja na
mkewe Anne Kilango Malecela.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akizungumza na Mke wa Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai
wakati alipokwenda na Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuwajulia hali nyumbani
kwao Sala sala jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mke wa
Spika Dkt. Fatma Mganga Ndugai huku Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiagana
na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai mara baada ya
kuwajulia hali nyumbani kwao Sala sala jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Home
»
»
KUNDI LA ORIGINAL COMEDY LAINGIA MATATANI KWA KUVAA SARE ZA POLISI KWENYE HARUSI YA MASANJA MKANDAMIZAJI
KUNDI LA ORIGINAL COMEDY LAINGIA MATATANI KWA KUVAA SARE ZA POLISI KWENYE HARUSI YA MASANJA MKANDAMIZAJI
Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia
kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia
mavazi yanayofanana na sare za Majeshi ya Ulinzi na usalama hapa nchini
likiwemo Jeshi la Polisi katika shughuli zao za kisanii au katika kazi
mbalimbali, Jambo ambalo ni kinyume cha sheria, kanuni na taratibu za
Nchi.
Makao Makuu ya Polisi.
Kwa
mujibu wa Sheria ya kanuni za makosa ya Jinai, sura ya 16 na marejeo
yake ya mwaka 2002, kifungu cha 178 (1) na (2) kinachozungumzia makosa
dhidi ya sare za majeshi ya ulinzi na usalama, kinabainisha wazi kuwa
ni kosa kisheria kwa mtu yeyote ambaye siyo mtumishi wa majeshi ya
ulinzi na usalama kuvaa mavazi yanayotumiwa au kushabihiana na sare za
majeshi hayo bila kibali kutoka kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
Kufuatia
kitendo kilichofanywa na kundi la kisanii la “ Original Comedy” kuvaa
mavazi yanayoshabihiana na sare za Jeshi la Polisi, Jeshi la Polisi
Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam linachukua hatua za kisheria dhidi ya
wasanii hao.
Aidha
Jeshi la Polisi nchini, linatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi chochote
kuacha kutumia mavazi yanayofanana na sare zinazovaliwa na majeshi ya
ulinzi na usalama hapa nchini na atakayebainika hatutasita kuchukua
hatua kali za kisheria dhidi yake.
Jeshi
la Polisi linatoa rai kwa wale wote wenye mavazi yanayoshabihiana na
sare za majeshi ya ulinzi na usalama kuzisalimisha mara moja katika
vituo vya Polisi vilivyokaribu nao.
Imetolewa na:
Advera John Bulimba – Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)
Msemaji wa Jeshi la Polisi.
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Google wamezindua program mpya na itakuwa ni bure kwa watumiaji wa simu
Kampuni ya Google imezindua programu yake
mpya kwa jina DUO. Programu hiyo ni jibu la Google kwa programu nyengine
kama ile ya Apple ya Face Time,Skype ya Microsoft na Facebook
messanger.
Programu
hii haina tofauti kubwa na programu nyingine zinazotoa huduma za video,
isipokuwa inakupatia uwezo wa ni nani anayepiga simu hivyo basi kumpatia
mtumiaji fursa ya kuamua iwapo ataipokea simu hiyo au la. Programu hiyo
mpya iliotangazwa mwezi May imezinduliwa kama huduma ya bure kwa simu
zinazotumia Android pamoja na simu za Apple za iPhone.
Simu
zinalindwa na haziwezi kudukuliwa na video hubadilika kulingana na kasi
ya kushika simu inayopigwa. Kama programu ya FaceTime, duo inahitaji
nambari ya mtu ya simu kuunganishwa. Huduma nyingine zinahitaji mtumiaji
kuingia katika akaunti zao ili kupata fursa ya kupata huduma hiyo.
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Yannick Bolasie adondosha wino Everton kutokea Crystal Palace
Klabu ya Everton imetangaza kumsajili kiungo Yannick Bolasie kutokea Crystal Palace kwa ada ya pauni milioni 25.
Mchezaji huyo kwa kimataifa wa DR Congo,27, amesaini mkataba wa miaka mitano kunako klabu hiyo.
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Obama kukamilisha ahadi ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay
Marekani imetangaza kuwahamisha wafungwa 15 waliokuwa kwenye gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba na kupelekwa Emirates.
Taarifa ya kuhamishwa kwa wafungwa hao imetolewa kutoka makao makuu ya jeshi la nchi hiyo lililopo Pentagon na kati ya wafungwa hao 12 wanatoka Yemen na watatu Afghanistan.
Kundi la watu hao ni moja kati ya kundi kubwa la wafungwa kuwahi kuhamishwa kutoka kwenye gereza hilo chini ya utawala wa Rais Barack Obama tangu mwaka 2008. Mpaka sasa idadi ya wafungwa waliobakia kwenye gereza hilo imefikia 61 hatua ambayo imeonekana kupingwa vikali na Chama cha Republican chini ya mgombea wake Donald Trump.
Hata hivyo mara kadhaa Rais Obama ameeleza masikitiko yake juu ya msimamo wa chama hicho wa kupinga mpango wake wa kutaka kufunga gereza hilo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyowahi kuitoa wakati wa kampeni za Urais.
Taarifa ya kuhamishwa kwa wafungwa hao imetolewa kutoka makao makuu ya jeshi la nchi hiyo lililopo Pentagon na kati ya wafungwa hao 12 wanatoka Yemen na watatu Afghanistan.
Kundi la watu hao ni moja kati ya kundi kubwa la wafungwa kuwahi kuhamishwa kutoka kwenye gereza hilo chini ya utawala wa Rais Barack Obama tangu mwaka 2008. Mpaka sasa idadi ya wafungwa waliobakia kwenye gereza hilo imefikia 61 hatua ambayo imeonekana kupingwa vikali na Chama cha Republican chini ya mgombea wake Donald Trump.
Hata hivyo mara kadhaa Rais Obama ameeleza masikitiko yake juu ya msimamo wa chama hicho wa kupinga mpango wake wa kutaka kufunga gereza hilo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyowahi kuitoa wakati wa kampeni za Urais.
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Jisajili kwenye:
Machapisho
(
Atom
)
Recent Posts
From Twitter
Get in Touch
Custom content
CONTACT US
Follow us
Ads
Your News
War Heroes
No Mercy
Your Footers
Action Games
Avatar
Inaendeshwa na Blogger.