Picha za Jezi mpya za Arsenal,staa wa kwanza wa Hollywood aliyeivaa,
Hizi ndio jezi mpya za Arsenal zitakazovaliwa zaidi kwenye msimu huu wa
BPL nchini Uingereza kwenye mechi za ugenini, jezi hizi zilitambulisha
mjini Las Angeles.
Kwenye kutambulisha hizi jezi mpya staa wa filamu kutoka Marekani Jamie Foxx alikuwepo.
Club legend Freddie Ljungberg aliyeacha
soka mwaka 2007 na sasa ni kocha wa timu ya Arsenal ya vijana wenye umri
chini ya miaka 16 alikuwepo. Jezi hizi zitatumika kwneye msimu wa
2016>>2017.
0 maoni:
Chapisha Maoni