Popular Posts
DJ DUXX

sign up

TOTAL PAGEVIEWS
Banner1

Jumatatu, 1 Agosti 2016
JUSTIN BIEBER ampotezea DONALD TRUMP
Mwanamuziki nyota wa Marekani Justin Bieber amekataa kufanya show iliyoandaliwa na Chama cha Republican katika mkutano wake uliofanyika hivi majuzi huko Cleveland U.S.A.
Bieber aliitosa ofa ya dola milioni tano ambacho ni kiasi kikubwa mno kulipwa msanii kwa show moja. Lakini inasemekana chanzo cha kuitosa ofa hiyo ya Trump ni meneja wake Bieber Scooter Braun ambaye anatajwa kuwa shabiki mkubwa wa Mgombea wa Urais wa Chama cha Democratic, Hillary Clinton.
Scooter alitishia kujiondoa kuwa meneja wa Bieber endapo angekubali kwenda kutumbuiza kwenye mkutano huo, hata hivyo si meneja wake Bieber tu aliyemshauri kuitosa ofa hiyo, yupo mcheza kikapu maarufu LeBron James naye alimshauri Bieber kuitosa ofa hiyo.
Inasemekana kuwa show hiyo haikuwa ya kisiasa lakini hilo halikutosha kumshawishi Bieber kukubaliana na ombi hilo.
About ' Unknown '

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus suscipit, augue quis mattis gravida, est dolor elementum felis, sed vehicula metus quam a mi.

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Recent Posts
From Twitter
Get in Touch
Custom content
CONTACT US
Follow us
Ads
Your News
War Heroes
No Mercy
Your Footers
Action Games
Avatar
Inaendeshwa na Blogger.
Blog Archive
-
▼
2016
(
132
)
-
▼
Agosti
(
50
)
- Bado nina mipango na Fabregas - Antonio Conte
- RAIS DKT. MAGUFULI AWAJULIA HALI SPIKA WA BUNGE JO...
- KUNDI LA ORIGINAL COMEDY LAINGIA MATATANI KWA KUVA...
- Google wamezindua program mpya na itakuwa ni bure ...
- Yannick Bolasie adondosha wino Everton kutokea Cr...
- Obama kukamilisha ahadi ya kulifunga gereza la Gua...
- Mambo manne yaliyoafikiwa kwenye kikao cha dharura...
- Dully Sykes adai awali alipanga kumshirikisha Diam...
- Ni muda wa kuisubiri P-Square mpya
- Makonda akabidhi ramani ya ofisi mpya za Bakwata
- Wema aelezea bidhaa yake mpya na alikopata wazo la...
- Nimeshakuwa sasa, kiukweli nina kiu ya mume – Johari
- je ni kweli Mwimbaji Emmanuel Mbasha karudiana na ...
- Kimetajwa hapa kiasi cha Pesa alichokuwa akilipwa ...
- Too Much ndio video iliyomtesa zaidi Darassa,mweny...
- Nay wa Mitego adai Mr Ttouch anamchukulia kama mto...
- Wanene Entertainment waweka wazi sababu za Hanscan...
- Harmonize: Nivae dela ndio mseme simkopi Diamond?
- Kisa kusakamwa na Mashabiki: Justin Bieber aifuta ...
- KESSEBOY WA KIGOLI KAAMUA KUOKOA NA KUJIITA KESSE ...
- Uchaguzi Zambia: Rais Edgar Lungu aibuka mshindi
- Picha,Tyga katoa hili gari kama zawadi kwenye birt...
- Watoto wamiminika katika kambi ya tiba ya vichwa v...
- Serikali yawafuta machozi wakazi wa Magomeni
- Jux kayaongea ya moyoni kuhusu EX wake Jack Cliff
- Picha za Jezi mpya za Arsenal,staa wa kwanza wa Ho...
- Mawili mapya kuhusu Selena Gomez na Justin Bieber,...
- Huyu ndio msanii aliyetaka kumsimamia Kanye West t...
- Rais Magufuli atema cheche Geita
- Dj maarufu Dj Snake amethibitisha kuwa Selena Gome...
- Aliyekuwa msanii wa Destiny Child atengana na mume...
- DONE DEAL: Pep Guardiola kasajili staa mpya Man City
- R.Kelly alikaribia kumsainisha Kanye West kipindi ...
- Drake anazidi kuweka historia kwenye chati za Bill...
- Shamsa Ford - Ni kweli nimetolewa mahari
- Nay wa Mitego ndio kamalizana na BASATA? sikia ali...
- Barakah Da Prince na Naj waivunja internet kwa vid...
- Sauti Sol hawatomuimba Rais Magufuli sema kuna kit...
- Picha za utupu za kisagaji za mke wa Donald Trump ...
- simao ft moni made it official video
- rama dee ampongeza zax 4real
- bagdad foleni official video
- Rais Magufuli akamilisha ziara yake, atoa onyo kwa...
- Beenie Man aahirisha show ya OVO Fest baada ya kup...
- Shetta asema ushindani uliopo kwenye muziki umemfa...
- Stamina kuachia ngoma aliyowashirikisha Roma na Ja...
- JUSTIN BIEBER ampotezea DONALD TRUMP
- Desiigner afunguka dau alilonunulia beat ya ‘Panda’
- Pam D adai wanaume wengi wanaogopa kuwa na mahusia...
- GITAA NILITAMANI OFFICIAL VIDEO
-
▼
Agosti
(
50
)
0 maoni:
Chapisha Maoni